Monday, 10 October 2016

JE WAJUA?





  1.  Mtaa wa kwanza kabisa duniani kuangazwa taa za umeme umeme (electric bulbs) ulikuwa      ni mtaa wa Mosley, Newcastle mwaka 1879.
  2.  Vifaa vinne vya nyumbani vya kwanza kabisa kutumia umeme ni Cherehani, feni, birika          na mashine ya kukorogea mayai.
Previous Post
Next Post

About Author

0 comments: