Sunday, 23 October 2016

TIPS




  1. Usipunguze matawi ya miti yaliyo karibu na nyaya au nguzo za umeme isipokuwa umetoa taarifa TANESCO  ambao watakupa ushauri na hatua nzuri za kufuata kabla ya kufanya hivyo.
  2. Usijaribu kugusa au kushika  waya wowote usiojua kazi yake ambao umeanguka au umekatika.
  3. Mwanga mdogo kwenye taa zako au taa kuzima na kuwaka au circuit breaker kuzima mara kwa mara ama kuungua kwa fuse mara nyingi ni dalili/alama ya onyo ya wiring ya jengo lako isiyokidhi viwango.



Previous Post
Next Post

About Author

0 comments: